Skip to main content

NI HUDUMA YA KIUTUME AMBAYO MHE RAIS AMEIWEKA KWETU, TUITUMIE VIZURI HUDUMA HII - EMANUEL SHIRIKALE

Submitted by admin on 6 March 2025

"Tusiiache fursa hii ipite bila kuitumia ipasavyo. Serikali imeshafanya kazi kubwa ya kuweka huduma hizi kwetu, sasa ni jukumu letu kuzitumia kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo," aliongeza. Mchungaji shikela