Skip to main content

Ni siku ya tano sasa tangu kuanza kwa huduma ya msaada wa kisheria Machi 1, 2025 kupitia Mama Samia Legal Aid Campaign mkoani Arusha

Submitted by admin on 5 March 2025

Image

Mafanikio yameendelea kuonekana baada ya wananchi wengi kufika na kupata ufumbuzi wa changamoto zao za muda mrefu na mfupi.

Image

Sambamba na hayo, Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) Wakili Boniface Anyisile Kajunjumela Mwabukusi ameonesha ushirikiano wa kutosha kwa kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la kutatutua Changamoto za wananchi na kutoa huduma za Msaada wa Kisheria.

Image

#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanya