Skip to main content

UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA MTEJA KATIKA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

Submitted by admin on 5 September 2024

 https://mamasamialegalaidcampaign.blogspot.com/2024/09/uzinduzi-wa-kituo-cha-huduma-kwa-mteja.html… 

Ikiwa unakabiliwa na changamoto za kisheria kama migogoro ya ardhi, masuala ya mirathi, ndoa, au masuala yoyote yanayohusiana na haki zako, usisite kuwasiliana na huduma kwa wateja kupitia simu yako ya Mkononi na njia za mtandao.

#MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya