Skip to main content

Viongozi wakuu wa Wizara ya Katiba na Sheria walizindua Kampeni ya Msaada wa Kisheria mjini Njombe.

Submitted by admin on 29 May 2024

Kampeni hii, iliyoanzishwa na Mama Samia, inalenga kutoa huduma za kisheria, kuboresha upatikanaji wa haki, na kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya kisheria.#MSLAC #Katibanasheria