Skip to main content

"Wananchi wamenufaika na Kampeni hii nchini" Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Doto Biteko

Submitted by admin on 26 May 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko katika uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) leo Mei 26, 2024 inayofanyika mkoani Njombe