Kupitia maonesho ya Nanenane Wananchi Wanapata nafasi ya kushauriana na wanasheria bila gharama yoyote, jambo ambalo ni msaada mkubwa kwa wale ambao hawawezi kumudu gharama za huduma za kisheria.
Kupitia maonesho ya Nanenane Wananchi Wanapata nafasi ya kushauriana na wanasheria bila gharama yoyote, jambo ambalo ni msaada mkubwa kwa wale ambao hawawezi kumudu gharama za huduma za kisheria.