Bila msaada wa kisheria, watu wasiokuwa na uwezo wa kifedha wanakosa fursa ya kujitetea au kuwakilishwa vizuri mbele ya vyombo vya sheria, jambo ambalo linaweza kukiuka haki zao za msingi. #MSLAC
Bila msaada wa kisheria, watu wasiokuwa na uwezo wa kifedha wanakosa fursa ya kujitetea au kuwakilishwa vizuri mbele ya vyombo vya sheria, jambo ambalo linaweza kukiuka haki zao za msingi. #MSLAC