Tunakualika kutembelea banda la MSLAC na kupata msaada wa kisheria bure. Ni fursa ya kipekee kwa wananchi wote kupata ushauri na msaada wa kisheria kwa masuala mbalimbali. Karibu tujenge Tanzania yenye haki na usawa. #MSLAC

Tunakualika kutembelea banda la MSLAC na kupata msaada wa kisheria bure. Ni fursa ya kipekee kwa wananchi wote kupata ushauri na msaada wa kisheria kwa masuala mbalimbali. Karibu tujenge Tanzania yenye haki na usawa. #MSLAC