Skip to main content

KIGOMA UJIJI KUMETARADADI

Submitted by admin on 23 January 2025

Mafunzo ya kuwajengea uwezo watoa Huduma za Msaada wa Kisheria katika  Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Samia Legal Aid Campaign)

Image

Kutoka Halmashauri  zote za mkoa wa Kigoma yanaendelea katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Kampeni ya MSLAC inaanza rasmi tarehe 24/1/2025 katika mikoa 6 ukiwemo mkoa wa Kigoma na wilaya zake zote.