Elimu hiyo ililenga kuwajengea uelewa wanafunzi, walimu, na jamii kwa ujumla kuhusu umuhimu wa kulinda haki za watoto na kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Maafisa hao walieleza aina mbalimbali za ukatili, athari zake, na hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuhakikisha usalama wa watoto na jamii nzima.
#sisinitanzania #maendeleo #tanzaniampya #sisinitanzaniampya #tanzaniayetu #tanzanianamaendeleo #tanzania #samiasuluhu #ssh #sisinitanzaniamakini