Skip to main content

Maafisa wa Dawati la Msaada wa Kisheria katika Kata ya Kelamfua/Mokala, Wilaya ya Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro, wameendelea kutoa msaada muhimu kwa wananchi

Submitted by admin on 2 December 2024

Kupitia juhudi hizo, mwananchi mmoja ameunganishwa na mwanasheria atakayemsaidia kutatua suala lake kisheria. Hii ni hatua kubwa katika kuhakikisha haki inapatikana kwa wote. 

#Kaziiendelee #Mslac #SSH