Huduma hizi zimeongeza ufahamu kuhusu masuala ya kisheria na kumsaidia mwananchi mwenye changamoto za kisheria kupata usaidizi wa haraka na kwa urahisi. Lengo la huduma hizi ni kuhakikisha haki inapatikana kwa kila mtanzania, hasa katika maeneo ya vijijini, na kuimarisha ufanisi wa mifumo ya haki. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan