Tunatoa msaada katika masuala ya migogoro ya ardhi, ndoa, mirathi, ukatili wa kijinsia na mambo mengine yote yanayohitaji msaada wa kisheria. Fika kwenye banda letu upate huduma hizi bure na kwa uhakika! #MSLAC #Katibanasheria #Ikulu

Tunatoa msaada katika masuala ya migogoro ya ardhi, ndoa, mirathi, ukatili wa kijinsia na mambo mengine yote yanayohitaji msaada wa kisheria. Fika kwenye banda letu upate huduma hizi bure na kwa uhakika! #MSLAC #Katibanasheria #Ikulu