Skip to main content

TAZAMA KIAPO CHA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MBELE YA MHE RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Submitted by admin on 18 November 2025

Waziri mpya wa Katiba na Sheria  JUMA HOMERA ameapishwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na vyombo vya ulinzi na usalama