Elimu hiyo imejikita katika masuala ya migogoro ya ardhi, mirathi, ukatili wa kijinsia, matunzo ya watoto, na haki za binadamu. Mpango huu unalenga kuwawezesha wananchi kuelewa haki zao na kutumia njia za kisheria kutatua migogoro kwa amani. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano