Skip to main content

JE, UNAFAHAMU KUWA SI KILA KOSA LINAPASWA KUISHIA JELA? FAHAMU KUHUSU ADHABU MBADALA!

Submitted by admin on 25 June 2025

Adhabu hizi husaidia kupunguza msongamano wa magereza, kuokoa rasilimali za serikali, na kurejesha wahalifu kuwa raia wema.

πŸ‘¨β€βš–οΈ Je, Tanzania inatekeleza mfumo huu ipasavyo?

🎯 Jifunze namna mfumo wa sheria unavyolenga haki na si kisasi.

πŸ”” Usisahau ku-like, ku-comment na ku-subscribe ili kupata elimu zaidi kuhusu haki, sheria, na mabadiliko katika mfumo wa haki jinai.

#AdhabuMbadala #HakiKwaWote #SheriaTanzania #SamiaLegalAid #MSLAC #JuaHakiYako