Skip to main content

MGOGORO SUGU WAFIKA MWISHO, MAMA ATOA SHUKURANI ZAKE MBELE YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA.

Submitted by admin on 3 June 2025

Baada ya miaka ya mateso, haki imesimama! Mama huyu amefikia mwisho wa mgogoro wake kwa msaada wa huduma za kisheria — leo anatabasamu mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria.

#HakiKwaWote #MsaadaWaKisheria #SheriaNiMlinzi