Skip to main content

MSLAC YAGUSA NGUZO ZA JAMII SONGEA-ELIMU YA KISHERIA KWA VIONGOZI NA VIJANA 1200

Submitted by admin on 13 May 2025

LIVE kutoka Songea, Ruvuma, ambako Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) inaendelea kutoa elimu ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa, wajumbe wa mashina, vijana, na wananchi wa kawaida.

Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wanapata maarifa kuhusu:

Haki za kiraia na kijamii

Mbinu mbadala za utatuzi wa migogoro

Elimu ya uchaguzi na ushiriki wa kidemokrasia

Mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia

Umuhimu wa katiba na utawala bora

🎯 Lengo: Kuwezesha kila Mtanzania kuelewa na kudai haki zake kwa njia ya amani na uelewa wa sheria.

📍 Mahali: Songea Mjini

📅 Muda: LIVE sasa!

🟢 Jiunge nasi, shiriki maoni yako, uliza maswali, na uelimike.

📢 #MSLAC #HakiKwaWote #SioNdotoTena #MoyoniTanzaniaKwanza