Skip to main content

WATANZANIA WANA KIU YA HAKI – MSLAC YATOA DARASA KUBWA KWA WANANCHI -SONGEA

Submitted by admin on 9 May 2025

Songea, Ruvuma – Katika muendelezo wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), wananchi wa Mkoa wa Ruvuma, hususan Manispaa ya Songea, wameendelea kunufaika na elimu ya kisheria inayogusa maisha yao ya kila siku. Kwa sauti moja, wananchi wametoa kauli ya wazi: "Tunakiu ya haki, elimu hii ndiyo tiba ya changamoto zetu." Mwananchi

#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SONGEA #RUVUMA #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya