Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Miongoni mwa njia ambazo Mwananchi anaweza zitumia kupata msaada wa kisheria   Mashirika Ya Kutoa Msaada wa KisheriaKuna mashirika mengi ya kutoa msaada wa kisheria ambayo yanaweza kutoa ushauri na msaada wa kisheria kwa wananchi. Mashirika haya yanaweza kuwa ya kiraia au yanaweza kuungwa…
Posted:
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu ametoa wito kwa Mkoa wa Singida kutoa ushirikiano wa kutosha wakati wote wa utekelezaji wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign - MSLAC) inayotegemewa kufanyika mkoani humo kuanzia tarehe 10 hadi…
Posted:
Kampeni ya MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN Inafanyika kwa miaka mitatu kuanzia mwezi Machi, 2023 hadi mwezi Februari, 2026 katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar. Kampeni imejikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya…
Posted:
Utekulizaji wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria wa Mama Samia umekuwa na mchango mkubwa katika kurejesha amani na utulivu katika familia na jamii kadhaa zilizokuwa zikikabiliwa na migogoro nchini kote.Kampeni hiyo inatekelezwa kwa pamoja kati ya serikali na Kituo cha Msaada wa Kisheria (LSF).Kampeni…
Posted:
Sheria inatoa mwongozo wa jinsi serikali inavyopaswa kushughulikia na kurejesha hali ya kawaida baada ya maafa kutokea. Masuala ya maafa na utawala wa dharura yanaweza kushughulikiwa katika vipengele kadhaa vya Katiba na sheria nyingine nchini. #Katibayawatu #KatibanimaridhianoBaadhi ya vipengele…
Posted:
Kampeni hii inafanyika kwa miaka mitatu kuanzia mwezi Machi, 2023 hadi mwezi Februari, 2026 katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar. Kampeni imejikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa…