Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Anayempokea (aliyevaa kofia) ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Rashid Hadid Rashid.
Posted:
Brass Band ikitumbuiza mapema leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Kusini Pemba katika uwanja wa Bustani ya Mwanamashungi.
Posted:
Wananchi mbalimbali mbalimbali wa Chake Chake Pemba wakiwa katika viwanja vya Bustani ya Mwanamashungi kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia leo 5 Mei 2025. 
Posted:
 #katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
Kampeni hii inalenga kuwafikia wananchi wote hasa wanyonge, kwa kuwapatia elimu ya kisheria na msaada wa moja kwa moja kwenye migogoro yao. 📌 Fuatilia tukio hili moja kwa moja na shuhudia namna serikali inavyoweka mbele haki za kila Mtanzania kupitia sheria! #MSLAC #MsaadaWaKisheria #MamaSamia #…
Posted:
Kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), Watanzania sasa wanapata fursa ya kusikilizwa, kutetewa na kupata haki zao bila gharama. Hii ni hatua kubwa ya kuimarisha amani, mshikamano na maendeleo ya kijamii kwa wote – mijini na vijijini. 🎯 Lengo kuu: Haki kwa kila Mtanzania bila…