Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Uzinduzi rasmi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) umefanyika tarehe 23 Aprili 2025 katika Kaskazini Unguja, ukiandaliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Ofisi ya Rais - Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora chini ya Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria. Mgeni…
Posted:
Zanzibar, 23 Aprili 2025 - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mheshimiwa Dkt. Haroun Ali Suleiman akiwasili katika viwanja vya mkwajuni mkoa wa kaskazini unguja unapo fanyika uzinduzi wa kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama samia(MSLAC ).
Posted:
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, imetangaza kuwa asilimia 75 ya wananchi wa Zanzibar wanatarajiwa kufikiwa na huduma za msaada wa kisheria kupitia Kampeni ya Mama Samia, itakayozinduliwa rasmi tarehe 23 Aprili 2025 katika Mkoa wa…
Posted:
#mslac #kampeniyamsaadawakisheria #sheria #msaadawasheria #hakikwawote #katibanasheria #sheria #haki #hakinasheria #hakinawajbu #wakilimsomi #wakili #lawschool #tanganyikalawsociety #DktNdumbaro
Posted:
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa kushirikiana na Wizara ya katiba na sheria, inatarajia kuzindua rasmi Kampeni ya Msaada wa Kisheria visiwani Zanzibar tarehe 23 Aprili 2025. Uzinduzi huu utafanyika katika viwanja vya Mkwajuni, Wilaya ya Mjini, Unguja. Mgeni rasmi katika hafla hii atakuwa…
Posted:
Usisahau Kusubscribe Kulike na Kushare Habari hii..                                                #hakikwawote #mslac #katibanasheria #sisinitanzania #msaadawakisheria #…
Posted:
Dhamira ya kweli ya kuwakomboa Watanzania inadhihirika kupitia huduma za msaada wa kisheria bure kwa wananchi wa kawaida.   Katika video hii, tunashuhudia jinsi Serikali inavyowafikia wananchi moja kwa moja mitaani, vijijini na mijini—kuwasikiliza, kuwashauri na kuwatatulia changamoto…
Posted:
✅ Elimu ya sheria kwa lugha nyepesi na inayoeleweka,   ✅ Ushauri wa kisheria bila malipo,   ✅ Huduma za kuandika wosia, mikataba na barua za madai,   ✅ Usuluhishi wa migogoro kwa njia ya amani. Takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania hawana uelewa wa kutosha…
Posted:
Kampeni hii inaonesha mfano bora wa ushirikiano kati ya Serikali na wananchi kwa vitendo, ambapo viongozi wa serikali wamekuwa mstari wa mbele kutoa huduma na kusikiliza wananchi moja kwa moja. @ikulu_mawasiliano @samia_suluhu_hassan @damasndumbaro_official @katibanasheria_ @mslegalaidcampaign @…
Posted:
Bukoba Vijijini, Kagera – Katika kile kinachoonekana kuwa ushindi mkubwa wa haki na mafanikio ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, Bi. Adelina Katula mkazi wa Halmashauri ya Bukoba Vijijini hatimaye amepata haki yake ya kupita katika kiwanja cha nyumba yake, baada ya miaka kadhaa ya…
Posted:
Katika video hii ya kusisimua na yenye mguso wa kipekee, tazama jinsi Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, alivyosikiliza kwa makini kilio cha mzee mmoja aliyejitokeza kuomba msaada wa kisheria. Baada ya kusikiliza kwa huruma na umakini mkubwa, Waziri alitoa maelekezo ya haraka kwa…
Posted:
Migogoro ya ardhi imekuwa chanzo kikuu cha mifarakano ndani ya familia nyingi hapa nchini. Lakini je, ni nini kifanyike ili familia ziishi kwa amani na mshikamano? Katika video hii, Mama wa Kata ya Kashai, mkoani Kagera, anatoa maelezo ya kina na ushauri mzito kuhusu namna bora ya kuepuka migogoro…