Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) katika maonyesho ya Nane Nane ina umuhimu mkubwa kwa jamii. Maonyesho ya Nane Nane ni tukio muhimu nchini Tanzania linaloleta pamoja wadau mbalimbali wa kilimo na sekta zinazohusiana. Ushiriki wa MSLAC kwenye maonyesho haya una athari zifuatazo kwa…
Posted:
Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia katika maonesho ya Nane Nane inalenga kutoa elimu ya sheria, ushauri, na ufumbuzi wa matatizo ya kisheria kwa wananchi. Tupo Hapa Kukuhudumia! kwani msaada huu ni Bure kwa Watanzania wote..Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia katika maonesho ya…
Posted:
Lusian Mwanitu, mkazi wa mkoani Dodoma, ameomba serikali kuongeza nguvu kwenye kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia ili iweze kuwafikia watu wengi zaidi, hususan wale waliopo vijijini. Mwanitu amepongeza juhudi za kampeni hiyo, akisema kuwa ni taasisi mpya na yenye manufaa makubwa kwa…
Posted:
Wananchi wameonyesha kuridhishwa na huduma za kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia. Fika katika banda letu lililopo maonesho ya Nane Nane ili kupata huduma za msaada wa kisheria bure. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #KaziIendelee
Posted:
Hasa wale wasio na uwezo wa kugharamia mawakili, kulingana na Ibara ya 13 ya Katiba inayosisitiza usawa mbele ya sheria na haki ya kupata msaada wa kisheria. #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC
Posted:
Hii inajumuisha migogoro ya ardhi na ndoa, kwa mujibu wa Ibara ya 24 na 16 za Katiba ya Tanzania. #MSLAC #Katibanasheria
Posted:
Thomasa James Peter ameeleza matumaini yake kuhusu kampeni ya msaada wa kisheria, akisema kuwa itakuwa msaada mkubwa kwa wakazi wengi wenye matatizo ya kisheria. Kampeni hii inawalenga pia wale ambao hawana uelewa wa kutosha kuhusu sheria na haki zao. Peter ameongeza kuwa kampeni hiyo itasaidia…
Posted:
Wananchi wamependekeza kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kufanya MSLAC (Msaada wa Sheria kwa Wananchi) kuwa taasisi ya kudumu. Pendekezo hili limeibuka kutokana na msaada mkubwa ambao MSLAC imekuwa ikitoa kwa Watanzania, ikiwemo huduma za ushauri wa kisheria na elimu ya haki za kisheria. Wananchi…
Posted:
Wananchi wengi hawana uelewa wa kutosha kuhusu haki zao za kisheria na jinsi ya kuzilinda. Maonesho ya Nane Nane yanatoa fursa ya kipekee kwa wananchi kupata elimu ya sheria moja kwa moja kutoka kwa wataalamu.
Posted:
Kupitia maonesho ya Nanenane Wananchi Wanapata nafasi ya kushauriana na wanasheria bila gharama yoyote, jambo ambalo ni msaada mkubwa kwa wale ambao hawawezi kumudu gharama za huduma za kisheria.
Posted:
Thomasa James Peter ameeleza matumaini yake kuhusu kampeni ya msaada wa kisheria, akisema kuwa itakuwa msaada mkubwa kwa wakazi wengi wenye matatizo ya kisheria. Kampeni hii inawalenga pia wale ambao hawana uelewa wa kutosha kuhusu sheria na haki zao. Peter ameongeza kuwa kampeni hiyo itasaidia…
Posted:
Wananchi wamependekeza kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kufanya MSLAC (Msaada wa Sheria kwa Wananchi) kuwa taasisi ya kudumu. Pendekezo hili limeibuka kutokana na msaada mkubwa ambao MSLAC imekuwa ikitoa kwa Watanzania, ikiwemo huduma za ushauri wa kisheria na elimu ya haki za kisheria. Wananchi…