Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Judith Komba Mkazi wa Kijiji cha Ibumi akitoa shukrani kwa Mhe. Rais Doct. Samia Suluhu Hassan kwa huduma ya Msaada wa Kisheria iliyowafikia katika kijiji cha Ibumi baada ya timu ya wataalam kutatua mgogoro ulidumu takribani miaka 5 kati yake na mdogo wa Melina Komba ambaye ni mjumbe wa Serikali ya…
Posted:
Katika muktadha wa msaada wa kisheria, usawa unahakikisha kuwa watu wote wanapata nafasi sawa ya kupata huduma za kisheria. Watu wanapokuwa na uhakika wa haki zao, wanaweza kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi na kijamii, na hivyo kuchangia katika maendeleo ya jamii kwa ujumla.…
Posted:
Haki inahusu mfumo wa sheria na taratibu ambazo zinahakikisha watu wanatendewa kwa usawa na kwa haki mbele ya sheria. #MSLAC #Katibanasheria #Ikulu #KaziIendelee #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Sisinitanzania #Matokeochanya
Posted:
Kampeni hii, iliyoanzishwa na Mama Samia, inalenga kutoa huduma za kisheria, kuboresha upatikanaji wa haki, na kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya kisheria.#MSLAC #Katibanasheria
Posted:
Kampeni hii, iliyoanzishwa na Mama Samia, inalenga kutoa huduma za kisheria, kuboresha upatikanaji wa haki, na kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya kisheria. #MSLAC
Posted:
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko katika uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) leo Mei 26, 2024 inayofanyika mkoani Njombe
Posted:
Kwa mda ambao mmefanya kampeni hii nimefurahi kupata taarifa kuwa mmeshakwenda kwenye halmshauri 42, kata 452 na Vijiji 1348 mmevifikia na toka mmeanza hii kampeni watu wengi mmeweza kuwafikia""Watu 415,597 mmewasikiliza na hapa nataka kutofautiana na Mhe. Waziri wa Maendeleo ya Jamii (Mhe. Dkt.…
Posted:
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977)- Ibara ya 13: Inatoa haki ya usawa mbele ya sheria na uhuru wa kupata haki kwa usawa bila ubaguzi wowote. - Ibara ya 14: Inatoa haki ya kuishi na kupata ulinzi wa maisha.- Ibara ya 15: Inatoa haki ya uhuru wa kutembea na kuishi popote ndani ya…
Posted:
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili mkoani Njombe Mei 25, 2024 amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka.



