Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
MIGOGORO ya ardhi imetajwa kuwa ni ndio moja ya kero kubwa kwa wananchi wilayani Iramba Mkoani hapa na imesababisha kutumia muda mwingi kutafuta haki hiyo maeneo mbalimbali ya utoaji haki.Hayo yalibainishwa wakati wa mkutano wa hadhara kati ya wananchi na timu ya kampeni ya huduma ya msaada wa…
Posted:
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali itaendelea kulinda na kukuza upatikanaji haki nchini kwa kuzingatia miongozo mbalimbali ya kisera ya Kitaifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa na usawa mbele ya sheria, wananchi wanalindwa na wanapata haki kupitia vyombo…
Posted:
JAMII imetakiwa kuandika wosia wa mali zao ili kuepusha migogoro ya mgawanyo wa mali hizo baada ya kifo cha mhusika kutokea. Ofisa kutoka Ofisi ya Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) ,Mohamed Changula alitoa ushauri huo kwenye mkutano wa hadahara Kijiji cha Ipande halmashauri ya wilaya ya…
Posted:
FAMILIA ya watoto saba wenye umri chini ya miaka 10 wamekuwa wakijitunza wenye kwa muda wa miaka mitatu kutokana na wazazi wao wakutengana .Watoto hao wameibuliwa na kampeni ya huduma ya msaada wa kisheria ya Mama Samia inayoendelea wilayani hapa hapa baada ya kuzinduliwa januari 10 mwaka huu.Timu…
Posted:
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Bi. Fatuma Ramadhan Mganga ametoa wito kwa Wataalam watakaoshiriki Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ijulikanayo kama Mama Samia Legal Aid Campaign mkoani humo wanaitekeleza kwa kutoa maamuzi na ushauri sahihi kwa wananchi watakao wahudumia ili kuwawezesha…
Posted:
Kuelekea uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ijulikanayo kama Mama Samia Legal Aid Campaign hapo kesho mkoani Singida, leo hii wasajili na wadau wa msaada wa kisheria mkoa wa Singida wamekutana na kujadili utekelezaji wa kampeni hiyo. @samia_suluhu_hassan @katibayawatu @…
Posted:
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign #MSLAC ) imejikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa migogoro kwa njia mbadala, na masuala yahusuyo haki za…
Posted:
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kama ilivyorekebishwa, inatoa msaada wa kisheria kwa wananchi. Haki hii inatambulika katika Ibara ya 13(1) inayohusu Haki na Uhuru wa Binadamu. Ibara hiyo inasema: "Kila mtu anayo haki ya kuwa na msaada wa kisheria kwa ajili ya kulinda…
Posted:
Familia zenye hali duni kiuchumi zinaweza kuona ndoa za utotoni kama njia ya kupunguza mzigo wa kifedha au kuboresha hali ya maisha ya familia. Baadhi ya wazazi wanaweza kuona kuolewa mapema kama suluhisho la kiuchumi.
Posted:
Amezindua Programu ya Elimu ya Haki vijijini, Hivyo kupelekea Wananchi wengi Kunufaika na Ujuzi wa Kisheria Kupitia programu hiyo.
Posted:
Rais Samia Suluhu Hassan amechukua hatua kadhaa za kuboresha utoaji wa huduma za kisheria na upatikanaji wa haki nchini Tanzania. Hatua hizi zimegusa maeneo muhimu. Na haya ni matumaini kwa wananchi wa Tanzania kuhusu mabadiliko chanya katika mifumo ya kisheria na upatikanaji wa haki, pamoja na…
Posted:
Mama Samia Legal Aid, imechangia katika kuendeleza na kuboresha sheria za nchi, hasa katika masuala ya mirathi, ardhi, ndoa, na usajili, ili kuhakikisha zinazingatia haki na usawa.