Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Mwananchi aliyeguswa na huduma za msaada wa kisheria zinazotolewa na Samia Legal Aid Campaign (MSLAC). Mwananchi huyu anatoa maoni ya wazi kuhusu umuhimu wa elimu ya kisheria kwa jamii na anasisitiza haja ya huduma hizi kuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi wote – hususan wale wa kipato cha chini…
Posted:
TAWLA (Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania) wameungana na Kampeni ya Mama Samia ya Huduma na Msaada wa Kisheria (MSLAC) katika viwanja vya Mbagala Maturubai, jijini Dar es Salaam, kutoa msaada wa bure wa kisheria kwa wananchi. Katika tukio hili, wananchi wamepata nafasi ya kuelimishwa kuhusu…
Posted:
Katika kuunga mkono Kampeni ya Huduma na Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamejitokeza kwa wingi kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi wa Mbagala-Maturubai. Kupitia moyo wa kujitolea na weledi wa taaluma yao, wanachuo hawa wameleta matumaini mapya…
Posted:
MSLAC kwa ushirikiano na Wizara ya Ardhi wametoa hati za viwanja bure kwa wananchi Mbagala, Dar es Salaam. Huduma hii imesaidia watu kupata haki zao za ardhi haraka na bila malipo yoyote. Tazama tukio hili muhimu!
Posted:
Mama aliyenyimwa haki ya kuwaona watoto wake kwa muda mrefu baada ya kuachana na mumewe, hatimaye apata faraja kupitia msaada wa kisheria kutoka MSLAC. Tazama jinsi haki ilivyotendeka!
Posted:
Mchezaji wa klabu ya Simba SC, Mzamiru Yassin, amejitokeza katika Kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia iliyoendelea kutolewa bure kwa wananchi katika eneo la Kigamboni, Dar es Salaam.Mzamiru alipata nafasi ya kupokea msaada wa kisheria kupitia kampeni hii inayoratibiwa…
Posted:
Katika kuunga mkono juhudi za Mama Samia kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria (MSLAC), BRELA imejitokeza rasmi kushiriki kwa kutoa elimu na huduma za kisheria bure kwa wananchi kuhusu usajili wa makampuni, majina ya biashara, na masuala mengine ya kisheria ya uendeshaji biashara. Kupitia…
Posted:
MSLAC (Mama Samia Legal Aid Campaign) yaendelea na dhamira yake ya kuwafikia wananchi moja kwa moja! Safari hii, imewafikia wafanyabiashara wa masoko mbalimbali jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwapa elimu ya kisheria kuhusu haki zao, wajibu wao, mikataba ya kibiashara, uandishi wa wosia, na…
Posted:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ni dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Dkt. Hussein Mwinyi wa Zanzibar, kuhakikisha kuwa Watanzania wote wanapata haki zao za msingi kwa ustawi wa maendeleo yao na ya Taifa kwa ujumla. Mhe. Majaliwa…
Posted:
"Tumekwenda mpaka kwenye Magereza, tumetoa msaada wa kisheria kwa wafungwa 28,137 na leo Mhe. Mgeni rasmi (Waziri Mkuu wa Tanzani) tutakuomba ukabidhi vifaa kwaajili ya magereza, vifaa vya TEHAMA ambavyo vitafanya wafungwa na mahabusu waweze kusikiliza na kuendesha kesi zao wakiwa Magereza hivyo…