Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango @biteko@katibanasheria_ @profkabudipjam @Victoria.mwanziva @tanganyikalawsociety @boniface_a_k_mwabukusi
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan
Posted:
Ni jukumu letu kama viongozi kuhakikisha kila Mtanzania anapata elimu ya msingi ya kisheria ili kuondoa ukosefu wa haki unaotokana na kutokuelewa sheria." Rais Dkt @SuluhuSamia#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan
Posted:
Elimu hiyo imelenga kuwawezesha wananchi kuelewa haki zao na kushughulikia changamoto mbalimbali za kisheria katika maisha yao ya kila siku. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango…
Posted:
Huduma hizi zimeongeza ufahamu kuhusu masuala ya kisheria na kumsaidia mwananchi mwenye changamoto za kisheria kupata usaidizi wa haraka na kwa urahisi. Lengo la huduma hizi ni kuhakikisha haki inapatikana kwa kila mtanzania, hasa katika maeneo ya vijijini, na kuimarisha ufanisi wa mifumo ya haki…
Posted:
Msaada huu ni Bure kwa Watanzania wote! #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
Elimu hiyo imejikita katika masuala ya migogoro ya ardhi, mirathi, ukatili wa kijinsia, matunzo ya watoto, na haki za binadamu. Mpango huu unalenga kuwawezesha wananchi kuelewa haki zao na kutumia njia za kisheria kutatua migogoro kwa amani. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #…
Posted:
Elimu hiyo imelenga kuwasaidia wananchi kuelewa haki zao za kisheria na jinsi ya kushughulikia migogoro kwa njia za kisheria. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan@ikulumawasliano
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
Katika zoezi lililofanyika hivi karibuni, mwananchi mmoja kutoka kijiji cha Kisiju aliwasilisha kesi ya mgogoro wa ardhi ambayo ilihitaji ufafanuzi wa kisheria. Afisa huyo alimsikiliza kwa makini na kutoa maelezo ya kina kuhusu sheria za ardhi na namna ya kushughulikia mgogoro huo kwa njia ya amani…
Posted:
Maafisa maendeleo dawati la msaada wa kisheria Wakitoa elimu ya msaada wa kisheria kwa wananchi wa mtaa wa barabara ya moto kata ya mdoe ,elimu imepokelewa kwa shangwe na wameahidi kutoa ushirikiano na kuwa mabalozi kwa wengine juu ya uwepo wa dawati la msaada wa kisheria #MSLAC #…