Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Mafunzo hayo yaliyotolewa kwa ustadi mkubwa yalilenga kuwaelimisha washiriki kuhusu haki za kisheria na mbinu za kutatua changamoto za kisheria zinazowakumba wananchi wa kawaida. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan…
Posted:
Lengo kuu la elimu hiyo ni kuhakikisha haki za binadamu na makundi yenye uhitaji maalum wa msaada wa kisheria zinalindwa na kutetewa. Elimu hiyo ilihusu masuala muhimu kama haki za mirathi, ndoa, ukatili wa kijinsia, matunzo ya watoto, na namna ya kushughulikia migogoro mbalimbali. Kupitia…
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
Halmashauri ya mji wa Newala. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Posted:
Wananchi wanahamasishwa kuendelea kushiriki kikamilifu kwenye programu hizi ili kuhakikisha haki na maendeleo vinaendelea kuimarika katika jamii yao. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu…
Posted:
Wananchi wamesisitiza kuwa kampeni hii imeleta faraja na matumaini kwa familia nyingi ambazo hapo awali zilishindwa kutafuta haki zao kutokana na ukosefu wa uwezo wa kifedha. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @…
Posted:
Handeni, Tanga – Maafisa Maendeleo kutoka Dawati la Msaada wa Kisheria katika Halmashauri ya Mji wa Handeni wameendesha zoezi la kutoa elimu ya msaada wa kisheria kwa wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF). Katika kikao hicho, wanufaika walielimishwa kuhusu haki zao za kisheria,…
Posted:
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) inawapenda na kuwathamini Watanzania wote! Tunayo furaha kuwakaribisha katika mwaka mpya wa 2025 huku tukiwa na matumaini makubwa ya maendeleo, mshikamano, na haki kwa kila mmoja. Kwa moyo wa uzalendo na dhamira ya dhati ya kuimarisha maisha…
Posted:
Gusa link hapo chini tuendelee kuelimika zaidi https://matokeochanya.blogspot.com/2024/12/je-kampeni-ya-msaada-wa-kisheria-ya.html… #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango
Posted:
youtube.com/live/rP1BPXBSSOw?si=zt83G1mL25DP1IPV
Posted:
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama (MSLAC), inayotekelezwa kwa kushirikiana na serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na vyombo vya habari, imeweka mikakati madhubuti kuhakikisha kuwa ujumbe wake unawafikia wananchi walioko vijijini na maeneo yenye changamoto za mawasiliano. Hatua hizi…
Posted:
Msaada wa kisheria ni haki ya msingi ambayo inalenga kuhakikisha kila raia wa Tanzania anapata fursa ya kutetea haki zake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria mbalimbali zilizopo. Katiba ya Tanzania, hususan Ibara ya 13(6)(a), inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya…