Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Maafisa maendeleo ya jamii dawati la msaada wa kisheria Masasi Mji wakitoa elimu ya msaada wa kisheria kijiji cha mkapunda B kata ya sululu Halmashauri ya mji masasi.
#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya kutwa kusini iliyopo kijiji cha lidumbe shuleni kata ya mcholi halmashauri ya mji newala wafikiwa na kupewa elimu ya msaada wakisheria ya Mama samia Legal Aid campaign.
#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
Elimu ya msaada wa kisheria juu ya ukatili wa kijinsia, Ardhi,mirathi na wosia imewafikia wananchi wa kijiji cha mwengemtapika,kata ya mwengemtapika halmashauri ya mji masasi.
#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
#katibanasheria #MSLAC #SSH #kaziiendelee #SisiniTanzania #nchiyangukwanza #matokeochanya
Posted:
Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa vibali vya ajira kwa sekta ya Mahakama nchini, akishukuru kwa Vibali vya ajira 522 vilivyotolewa mwaka jana na vibali Vingine 1044…
Posted:
Katika kuongeza kasi kwa Utendaji wa Mahakama nchini na kupunguza mrundikani wa mashauri mahakamani, Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa mwaka 2024/25, imeongeza idadi ya watendaji mbalimbali wa Mahakama ikiwemo Majaji kumi na na Mahakimu 91, hivyo kufikisha Jumla ya Majaji 146 na Mahakimu…
Posted:
Waziri wa Katiba na Sheria Nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro amemtaja Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana Eliakimu Chacha Maswi Kama Miongoni mwa Makatibu wake bora kabisa aliowahi kufanya nao kazi serikalini kutokana na kasi, umahiri na mageuzi mbalimbali ambayo amekuwa akiyafanikisha kwa muda…
Posted:
Wizara ya Katiba na Sheria kupitia kwa Waziri Dkt. Damas Ndumbaro imeomba kuidhinishiwa na Bunge la Tanzania Jumla ya Shilingi Bilioni mia sita themanini na saba, milioni mia sita tisini na nane laki nne na themanini na tisa elfu kwaajili ya matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo kwa mwaka ujao…
Posted:
Waziri wa Katiba na sheria nchini Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro ameeleza kuwa katika kipindi cha Julai mwaka 2023 hadi Aprili 2024, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliendesha mashauri ya madai 9,013, ikifanikiwa kushinda mashauri 750 sawa na asilimia 77.6% ya mashauri…
Posted:
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amelieleza Bunge la Tanzania kuwa Wizara hiyo kupitia kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali imeendelea kuhakikisha kuwa sheria za nchi zinaenda na wakati na zinaakisi sera na vipaumbele vya serikali katika nyanja zote za kisiasa, kiuchumi, kijamii…
RASIMU YA SERA YA TAIFA YA JINAI KUIDHINISHWA 2025/26: SERIKALI KUJENGA MFUMO JUMUISHI WA HAKI JINAI
Posted:
Wizara ya Katiba na sheria nchini Tanzania imeandaa Rasimu ya sera ya Taifa ya Jinai na Mkakati wa utekelezaji wa sera hiyo ambayo kulingana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, Sera hiyo inatarajiwa kuidhinishwa na serikali katika mwaka ujao wa serikali 2025/26.
Leo Jumatano Aprili…