Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Kauli yenye uzito toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajat Fatma Mwassa, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia tarehe 14 Aprili 2025.
Katika hotuba yake, Mhe. Fatma Mwassa amesisitiza umuhimu wa kampeni hii katika kuwafikia wananchi wa kawaida, na kuleta mwamko mpya…
Posted:
Kampeni hii ni zao la dhamira ya kweli na ya dhati ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ameweka wazi kuwa haki ni msingi wa amani, maendeleo na usawa katika jamii.
Lengo la kampeni hii ni moja: kufikisha huduma za msaada wa kisheria kwa kila Mtanzania,…
Posted:
Amon Mpanju Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Tanzania. Kupitia kampeni hii, serikali inalenga kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wote kwa njia ya elimu sahihi na huduma rafiki, zinazoeleweka na kufikika kirahisi kwa wananchi wa kawaida.
🎯 Lengo: Haki kwa wote – si kwa wachache…
Posted:
Baada ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) katika Mkoa wa Kagera, huduma za msaada wa kisheria zimeanza kutolewa kwa wananchi katika Viwanja vya Uhuru, katikati ya Bukoba Mjini. Kampeni hii inalenga kuwafikia wananchi wanaokosa fursa za msaada wa kisheria kutokana…
Posted:
Huduma zinazotolewa kupitia kampeni hii ni pamoja na:
⚖️ Ushughulikiaji wa migogoro ya ardhi – elimu kuhusu umiliki wa ardhi na usaidizi katika kutatua migogoro
⚖️ Migogoro ya ndoa na masuala ya talaka
⚖️ Masuala ya mirathi – mgawanyo wa mali baada ya kifo
⚖️ Ulinzi dhidi ya ukatili wa kijinsia na…
Posted:
Tazama jinsi maandalizi na mapokezi ya uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia yalivyofanyika mkoani Kagera kwa hamasa na mshikamano mkubwa.
Kampeni hii inalenga kuhakikisha wananchi wote, hususan makundi yenye uhitaji maalum kama wanawake, watoto na watu wenye ulemavu, wanapata…
Posted:
Usisahau Kusubscribe Kulike na Kushare Habari hii. #hakikwawote #mslac #katibanasheria #sisinitanzania #msaadawakisheria #…
Posted:
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Bw. Isaya Kandega, amefungua rasmi mafunzo ya utoaji wa huduma za msaada wa kisheria chini ya kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign.
Katika hotuba yake ya uzinduzi, Bw. Kandega amesisitiza umuhimu wa huduma hizi katika kuhakikisha upatikanaji wa haki kwa…
Posted:
Mkurugenzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, Bi. Esther Msambazi, akizungumza katika ufunguzi rasmi wa mafunzo ya utoaji wa msaada wa kisheria mkoani Kagera. Mafunzo haya yamekusudiwa kuwajengea uwezo watoa huduma za msaada wa kisheria, ili waweze kuwahudumia wananchi kwa ufanisi…
Posted:
@SuluhuSamia@ikulumawasliano @sisiniTanzania@DBiteko@udom #MSLAC #Katibanasheria #Ikulumawasiliano #SSH
Posted:
Mkurugenzi wa Huduma za Msaada wa Kisheria, Bi. Esther Msambazi, ametangaza kuwa Mkoa wa Kagera unakuwa mkoa wa 25 nchini kufikiwa na kampeni ya msaada wa kisheria.
Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea uzinduzi rasmi wa kampeni hiyo, Bi. Msambazi amesema kuwa lengo ni kuhakikisha wananchi…
Posted:
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutumia kampeni ya msaada wa kisheria kama sehemu ya kujifunza na kuboresha namna ya kushughulikia changamoto za wananchi.
Akizungumza kuelekea uzinduzi wa kampeni hiyo utakaofanyika Bukoba – Uwanja wa Mayunga, Mhe. Mwassa…