Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Wizara ya Katiba na Sheria imehitimisha ushiriki wake katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa mafanikio makubwa baada ya kutoa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi 4,133 – wakiwemo wanaume 1,925 na wanawake 2,213.
Kupitia banda lake, Wizara ilitoa elimu kuhusu haki za…
Posted:
Katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, amepokea zaidi ya malalamiko 1,900 kutoka kwa wananchi waliomiminika kwenye Banda la Katiba na Sheria kutafuta msaada wa kisheria.
Wananchi walieleza changamoto zao mbalimbali zikiwemo…
Posted:
Katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba 2025), Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ameendelea kuonyesha dhamira ya dhati ya kusogeza huduma za kisheria karibu na wananchi kwa kusikiliza na kutatua migogoro ya wananchi papo kwa papo.
Katika video hii, utaona jinsi…
Posted:
JULY 7, 2025 GLOBAL TV ON LINE ILITOA TAARIFA HII
"MIAKA 20+ KWENYE NDOA - AFUKUZWA NYUMBA YAKE - ANAISHI KIBARAZANI - MUME AMUOLEA MKE MPYA AISHI KIBARAZANI Mnamo jioni ya Julai 8, 2025, timu ya maafisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ikijumuisha Wakili Msomi Moses Matiko, Michael na…
Posted:
Katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba jijini Dar es Salaam, wahudumu wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) wameendelea kutoa msaada wa kisheria bure kabisa kwa wananchi kutoka maeneo mbalimbali.
Wananchi waliotembelea banda la MSLAC wameeleza kufurahishwa na…
Posted:
Wanasheria na maofisa wa MSLAC wanaendelea kutoa huduma kwa moyo wa kujitolea, wakitoa ushauri wa moja kwa moja kwa wananchi, huku wakihamasisha utatuzi wa migogoro kwa njia ya maridhiano. #mslac #hakikwawote #daressalaam #samiasuluhu #siondototena #msaadawakisheria
Posted:
Maelfu ya wananchi wamejitokeza katika banda la MSLAC katika Viwanja vya Sabasaba ili kupata elimu juu ya haki zao, masuala ya ardhi, mirathi, ndoa, ajira na ukatili wa kijinsia – yote yakitolewa bure na wataalamu wa sheria. #hakikwawote #mslac #msaadawakisheria #siondototena #…



