Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ni dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Dkt. Hussein Mwinyi wa Zanzibar, kuhakikisha kuwa Watanzania wote wanapata haki zao za msingi kwa ustawi wa maendeleo yao na ya Taifa kwa ujumla. Mhe. Majaliwa…
Posted:
"Tumekwenda mpaka kwenye Magereza, tumetoa msaada wa kisheria kwa wafungwa 28,137 na leo Mhe. Mgeni rasmi (Waziri Mkuu wa Tanzani) tutakuomba ukabidhi vifaa kwaajili ya magereza, vifaa vya TEHAMA ambavyo vitafanya wafungwa na mahabusu waweze kusikiliza na kuendesha kesi zao wakiwa Magereza hivyo…
Posted:
Waziri wa Katiba na sheria Mhe. Dkt Damas Ndumbaro ameeleza kuwa Kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia imetekelezwa katika Mikoa,Wilaya, Kata na Vijiji vyote vya Mikoa 30 ya Tanzania ikitekelezwa chini ya Falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ambaye pia ndiye…
Posted:
Katika tukio la kihistoria lililofanyika tarehe 16 Juni 2025, maelfu ya wananchi walijitokeza katika viwanja vya Maturubai, Mbagala – Dar es Salaam, kushuhudia uzinduzi rasmi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC). Hafla hiyo ya kipekee iliongozwa na Mgeni Rasmi…
Posted:
Huu ni wakati wako wa kujua haki zako na kuzilinda kwa usahihi wa sheria! ⚖️ Usikubali kunyanyaswa kwa sababu hujui sheria — Mama Samia amesimama na wewe! 👇 Tazama video, toa maoni yako, na usisahau ku-subscribe kwa taarifa zaidi za msaada wa kisheria! #MamaSamia #MsaadaWaKisheria #HakiKwaWote #…
Posted:
Baada ya miaka ya mateso, haki imesimama! Mama huyu amefikia mwisho wa mgogoro wake kwa msaada wa huduma za kisheria — leo anatabasamu mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria. #HakiKwaWote #MsaadaWaKisheria #SheriaNiMlinzi
Posted:
Baada ya miaka ya mateso, haki imesimama! Mama huyu amefikia mwisho wa mgogoro wake kwa msaada wa huduma za kisheria — leo anatabasamu mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria. #HakiKwaWote #MsaadaWaKisheria #SheriaNiMlinzi
Posted:
🟢 Si kila Kesi  lazima uende Mahakamani  – sasa serikali iko mlangoni kwako! 👉🏾 Tazama, like, comment na subscribe kupata taarifa zaidi kuhusu huduma hizi za serikali zinavyogusa maisha ya Watanzania. #SerikaliKwaWananchi #HudumaKwaWote #SamiaSuluhu #MaendeleoKwaVitendo #HakiKwaWote #…
Posted:
📌 “Hasira ni adui wa hekima. Ukijifunza kuituliza, utakuwa na ushindi kwenye kila mashauri.” – Bi Adella 🔔 Usisahau KUSUBSCRIBE kwa ajili ya video zaidi zenye mafunzo ya maisha, hekima na mwanga wa kiroho. #AdellaMollel #HekimaYaMaisha #AmaniNaBusara #Usuluhishi #Motisha #Subira #Mashauri
Posted:
🟢 Si kila Kesi  lazima uende Mahakamani  – sasa serikali iko mlangoni kwako! 👉🏾 Tazama, like, comment na subscribe kupata taarifa zaidi kuhusu huduma hizi za serikali zinavyogusa maisha ya Watanzania. #SerikaliKwaWananchi #HudumaKwaWote #SamiaSuluhu #MaendeleoKwaVitendo #HakiKwaWote #…
Posted:
Katika mkutano uliojaa hisia mjini Arusha, Waziri wa Katiba na Sheria MHE, DKT. DAMAS NDUMBALO ameingilia kati mgogoro mkali wa urithi uliosababisha migawanyiko ya kifamilia na madai ya upendeleo. Akizungumza mbele ya wanachi waliokusanyika, Waziri huyo ameahidi kusimamia haki kwa wote bila…