Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Katika hatua muhimu ya kurejesha haki kwa wananchi, Timu ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia wilayani Hai imemkabidhi rasmi Mzee Assery Mushi shamba lake lenye ukubwa wa hekari moja lililopo katika kitongoji cha Landi, kijiji cha Kikavu Chini, kata ya Weruweru, wilaya ya Hai, mkoa wa…
Posted:
#kazinaututunasongambele #sisinitanzania #matokeochanya #katibanasheria #nchiyangukwanza #kaziiendelee #SSH #MSLAC
@ccm_tanzania
@SuluhuSamia
@matokeochanya
@MsLACampaign
@sisiniTanzania
@NCHIYANGUT
@Sheria_Katiba
Posted:
Juhudi ya Serikali ni kuhimiza wananchi kushiriki na kupata elimu ya kisheria ili waweze kunufaika na haki zao.
#kazinaututunasongambele #sisinitanzania #matokeochanya #katibanasheria #nchiyangukwanza #kaziiendelee #SSH #MSLAC
@ccm_tanzania
@issatimbe2
@matokeochanya
@MsLACampaign
@sisiniTanzania
@…
Posted:
📢 “Tunashukuru kwa elimu hii ya msaada wa kisheria, kuna mambo mengi yanatupita tukiwa kijijini, kuna manyanyaso mengi tunapitia na hatujui ni wapi tutakimbilia. Ila kupitia elimu hii, tunaona mwanga wa haki!”
Katika video hii, wananchi wanashuhudia jinsi elimu ya msaada wa kisheria…
Posted:
Wanawake wa jamii za kifugaji wameelezea shukrani zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwaletea elimu na msaada wa kisheria kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Samia (MSLAC). Kupitia kampeni hii, wamama wa kifugaji wamepata uelewa kuhusu haki zao…
Posted:
Mlangarini, Arusha – Katika jitihada za kuondoa sintofahamu kuhusu mipaka ya eneo la uchimbaji mawe, Dawati la Msaada wa Sheria kwa kushirikiana na maafisa ardhi pamoja na afisa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wamefika katika Kata ya Mlangarini kutoa elimu ya sheria na…
Posted:
Pastor George kutoka Cameroon amepongeza juhudi za Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, katika kuanzisha na kuendeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria (MSLAC). Akitilia mkazo umuhimu wa mpango huu, Pastor George amesema kuwa kampeni hii ni fursa adhimu kwa Watanzania, hasa wale wa kipato cha…
Posted:
🔔 Usisahau KUSUBSCRIBE kwa habari zaidi za maendeleo ya Tanzania!
👍🏽 Like | 💬 Comment | 🔄 Share
#SamiaSuluhu #Tanzania #Maendeleo #Miundombinu #SGR #UchumiImara #kaziiendelee #mslac #sisinitanzania #katibanasheria #matokeochanya #nchiyangukwanza #nchiyangukwanza #hakikwawote #hakikwawote #…
Posted:
#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanyaA
Posted:
#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #MatokeoChanya
Posted:
Ambalo kimkoa linafanyika halmashauri ya wilaya ya msalala, kata ya bugarama katika ukumbi wa Carebean.Mada mbalimbali zilizo tolewa ni kama ifuatavyo;
1. Elimu ya msaada wa kisheria.
2. Malezi na makuzi.
3. Mwanamke na uongozi.
4. Afya ya akili.
5. Uwezashaji kiuchumi.
MSLAC walipata fursa…