Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Maafisa Maendeleo kutoka Dawati la Msaada wa Kisheria katika Halmashauri ya Jiji la Arusha wametembelea Shule ya Msingi Msasani B na kutoa mafunzo maalum kwa wanafunzi kuhusu ukatili wa kijinsia na njia bora za kujilinda dhidi ya vitendo hivyo. Katika mafunzo hayo, wanafunzi walielimishwa…
Posted:
Katika jitihada za kuimarisha uelewa wa wananchi kuhusu haki zao za kisheria, mkutano wa hadhara umefanyika katika Kijiji cha Roondoo, Kata ya Romu, ambapo wananchi walipata fursa ya kupokea elimu kuhusu huduma ya msaada wa kisheria.Wananchi walionyesha furaha na shukrani kwa elimu waliyopewa,…
Posted:
Maafisa Maendeleo kutoka Dawati la Msaada wa Kisheria katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni wamefanikiwa kutembelea Kata ya Kwamsisi, hususan katika Vijiji vya Kwamsisi na Pozo. Ziara hiyo imelenga kutoa elimu ya msaada wa kisheria na kulitambulisha dawati hilo kwa wananchi, ili kuwasaidia kupata…
Posted:
#MSLAC #KatibanaSheria #SSH #CCM #KaziIendelee #NchiyanguKwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Posted:
MSLAC Ilifanikiwa kufika Kata ya Mamba-Myamba Kijiji cha Myamba, na kutoa elimu juu ya msaa wa kisheria wa Mama Samia. Nakufanikiwa kutatua mgogoro wa mirathi uliodumu kwa miaka Minne. Kutoa elimu juu ya masuala ya ukatili wa kijinsia, mirathi, Ardhi, na umuhimu wa vyeti vya kuzaliwa #MSLAC #…
Posted:
Kutoka ngazi ya mkoa hadi vijiji vidogo, wananchi wanaendelea kufikiwa na elimu muhimu juu ya masuala ya kisheria. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango
Posted:
Kampeni hii inalenga kuondoa vikwazo vya kijiografia na kiuchumi kwa kupeleka msaada wa kisheria hadi vijijini na maeneo ya mbali. Kupitia juhudi za wahudumu wa msaada wa kisheria, mwanga wa haki unawafikia wote, huku ikiwahamasisha wananchi kuelewa haki zao, kutatua migogoro, na kushiriki katika…
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_mpango
Posted:
Elimu iliyotolewa ilihusu: Maana na umuhimu wa Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria (MSLAC) Masuala yanayoshughulikiwa na kampeni hiyo Ukatili wa kijinsia na jinsi ya kuzuia Athari za mimba za utotoni Madhara ya matumizi mabaya ya teknolojia na mitandao Haki za binadamu na mtoto Wanafunzi…
Posted:
mamasamialegalaidcampaign.blogspot.com/2025/02/wakurugenzi-wa-idara-mbalimbali-za.html… #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango @biteko @katibanasheria_ @profkabudipjam @victoria.…
Posted:
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan @ikulu_mawasiliano @dr_philip_isdor_mpango @biteko @katibanasheria_ @profkabudipjam @victoria.mwanziva @TanganyikaLaw