Mama Samia Legal Aid Campaign
Yaliyojiri
Posted:
Migogoro ya ardhi inaepukika kabisa pale wananchi wanapopata elimu sahihi ya sheria za ardhi na kufuata taratibu halali za umiliki. Changamoto nyingi zinazohusiana na ardhi hutokana na ukosefu wa taarifa, mikataba isiyo rasmi, na kutozingatia sheria zilizopo.
Katika video hii utajifunza:
Sababu…
Posted:
Mchango wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) umeendelea kudhihirika kwa kiwango kikubwa katika kupunguza migogoro ya ardhi mkoani Morogoro, migogoro ambayo imeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wananchi wengi.
Akizungumza katika kliniki ya msaada wa kisheria, Wakili wa Kujitegemea na Wakili…
Posted:
Wananchi wametakiwa kutumia mtandao (eRITA) kuomba usajili wa vyeti vya kuzaliwa na vifo, huduma ambayo imeboreshwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kurahisisha huduma kwa watanzania kote nchini. Mfumo huu wa mtandaoni unalenga kutoa huduma kwa haraka, kwa uwazi, na kwa gharama…
Posted:
Vyeti sasa vinapatikana ndani ya masaa 48 kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wananchi kwa kurahisisha upatikanaji wa vyeti muhimu kwa haraka na kwa njia ya kidijitali.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Posted:
Migogoro ya ardhi inaepukika kabisa pale wananchi wanapopata elimu sahihi ya sheria za ardhi na kufuata taratibu halali za umiliki. Changamoto nyingi zinazohusiana na ardhi hutokana na ukosefu wa taarifa, mikataba isiyo rasmi, na kutozingatia sheria zilizopo.
Katika video hii utajifunza:
Sababu…
Posted:
Mchango wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS) umeendelea kudhihirika kwa kiwango kikubwa katika kupunguza migogoro ya ardhi mkoani Morogoro, migogoro ambayo imeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wananchi wengi.
Akizungumza katika kliniki ya msaada wa kisheria, Wakili wa Kujitegemea na Wakili…
Posted:
Wananchi wametakiwa kutumia mtandao (eRITA) kuomba usajili wa vyeti vya kuzaliwa na vifo, huduma ambayo imeboreshwa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kurahisisha huduma kwa watanzania kote nchini. Mfumo huu wa mtandaoni unalenga kutoa huduma kwa haraka, kwa uwazi, na kwa gharama…
Posted:
Vyeti sasa vinapatikana ndani ya masaa 48 kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA). Hatua hii inalenga kuboresha huduma kwa wananchi kwa kurahisisha upatikanaji wa vyeti muhimu kwa haraka na kwa njia ya kidijitali.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Posted:
Katika Stendi ya Zamani ya Mabasi, Manispaa ya Morogoro Mjini, wananchi wanaendelea kunufaika na huduma za msaada wa kisheria zinazotolewa kupitia banda la Wizara ya Katiba na Sheria. Kupitia Kliniki ya Msaada wa Kisheria, mwananchi amekabidhiwa hati ya kiapo kwa ajili ya kuwasilishwa mahakamani…
Posted:
Huduma ya Msaada wa Kisheria inaendelea mkoani Morogoro kwa lengo la kuwafikia wananchi moja kwa moja na kuwapatia elimu ya sheria, ushauri wa kisheria, na msaada wa kutatua changamoto mbalimbali za kisheria wanazokutana nazo katika maisha ya kila siku.
Kupitia mpango huu, wananchi wanapatiwa…



