Skip to main content

Mama Samia Legal Aid Campaign

Yaliyojiri

Posted:
Kwa kuzingatia Katiba ya Tanzania na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, Mslac Inatoa msaada wa kisheria bure kwa watu wanaokumbwa na migogoro ya ndoa, ikiwa ni pamoja na ushauri kuhusu haki zao ndani ya ndoa, usuluhishi wa migogoro, na masuala ya talaka na malezi ya watoto.…
Posted:
Hii inalenga kupunguza pengo la haki linalosababishwa na tofauti za kiuchumi na kijamii, na kuimarisha utawala bora na haki katika taifa. #MSLAC 
Posted:
Serikali inahakikisha kuwa kupitia msaada huu, haki za kikatiba za wananchi zinaheshimiwa na kutekelezwa #MSLAC #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Katibanasheria #matokeochanya
Posted:
Serikali inahakikisha kuwa kupitia msaada huu, haki za kikatiba za wananchi zinaheshimiwa na kutekelezwa #MSLAC #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #Katibanasheria #matokeochanya
Posted:
Hii inalenga kupunguza pengo la haki linalosababishwa na tofauti za kiuchumi na kijamii, na kuimarisha utawala bora na haki katika taifa. #MSLAC
Posted:
Sheria inalinda haki za watu na kuwapa fursa sawa mbele ya sheria. Kwa msaada wa kisheria, wananchi wanajengewa uwezo wa kujua na kudai haki zao. #MSLAC
Posted:
 https://mamasamialegalaidcampaign.blogspot.com/2024/09/uzinduzi-wa-kituo-cha-huduma-kwa-mteja.html… Ikiwa unakabiliwa na changamoto za kisheria kama migogoro ya ardhi, masuala ya mirathi, ndoa, au masuala yoyote yanayohusiana na haki zako, usisite kuwasiliana na huduma kwa wateja kupitia…
Posted:
Hii inalenga kupunguza pengo la haki linalosababishwa na tofauti za kiuchumi na kijamii, na kuimarisha utawala bora na haki katika taifa. #MSLAC
Posted:
Ikiwa unakabiliwa na changamoto za kisheria kama migogoro ya ardhi, masuala ya mirathi, ndoa, au masuala yoyote yanayohusiana na haki zako, usisite kuwasiliana na huduma kwa wateja kupitia simu yako ya Mkononi na njia za mtandao.#MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #…
Posted:
#MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Posted:
#MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya